Hebroni
Habari Mpya
Loading...

Pages

Tuesday, June 14, 2016

MKUU WA WILAYA YA IRINGA ASHIRIKI MAZISHI YA MAMA MKWE WA Mch. HUNTER MURO

Mkuu wa wilaya ya Iringa Mhe Richard Kasesela alishiriki katika mazishi ya Mama Mkwe wa Mkuu wa jimbo la Kaskazini Dayosisi ya Mashariki na Pwani(DSM) Mch Hunter Muro, Mama Emiliana Magava ambaye pia ni Mama Mdogo wa wabunge Mh.Venance Mwamoto na Mh.Rita Kabati. Mazishi hayo yalifanyika wilaya ya Kilolo Iringa. Akiwafariji wafiwa Mh Kasesela alisema " Kuna aina mbili ya vifo hapa duniani vipo...
Read more »

Tuesday, May 10, 2016

ZIJUE BARAKA ZA KUJITOA

Wanafunzi wa kwanza wa Yesu wakaacha yote wakamfuata. Wengine waliacha nyavu zao, na wengine wakaacha shughuli zingine. Wengine waliacha familia zao kwa muda mrefu ili wahubiri injili. Wakristo wengi katika historia wamejitoa bila kuangalia faida zao wenyewe ili injili iwafikie watu wengine, na hivyo wamefanyika baraka kwa mataifa. Bila watu kujitoa ukristo ungekuwa umekufa zamani. Mtu anaweza...
Read more »

VIJANA WA IRINGA Mpo? Ni Zamu Yenu sasa

Usisite Kutujulisha ili tutangaze huduma ya Mungu kupitia anwani yetu donatusdk@gmail.co...
Read more »

Sunday, May 8, 2016

Dalili za Mtumishi wa Mungu kwelikweli

– Mtumishi wa Mungu hawatawali washirika wa kanisa. “Yesu akawaita, akawaambia, ‘Wafalme wa Mataifa huwatawala,…na wakubwa wao huwatumikisha. Lakini kwenu ninyi sivyo; bali mtu anayetaka kuwa mkubwa kwenu, atakuwa mtumishi wenu, na mtu anayetaka kuwa wa kwanza wenu, atakuwa mtumwa wa wote.” (Luka 22:25; Marko 10:42-44). Mtumishi wa kweli hajifanyi kama ‘Bwana’ juu ya watu wa Mungu – hajiinui...
Read more »

Saturday, May 7, 2016

FAHAMU VYAKULA UNAVYOTAKIWA KULA ILI KUJENGA AFYA YAKO PASIPO GHALAMA KUBWA

Katika sehemu nyingi duniani, watu wengi zaidi hula chakula kikuu chenye bei nafuu ndani ya kila mlo. Chakula hicho kikuu huwapatia nguvu ya kutosha kuwawezesha kutimiza mahitaji yao ya kila siku. Lakini chakula hicho kikuu pekee hakitoshi kumfanya mtu awe mwenye afya. Kuweza kukua, kuwa na nguvu, na kupambana na maambukizi, lazima tule vyakula vingine-zaidi ya chakula kikuu. Uji ambao haujachanganywa...
Read more »

Sunday, May 1, 2016

ROHO YA HEKIMA NA UFUNUO KATIKA KUMJUA YEYE

Na: Patrick Sanga Salaam katika jina lake BWANA Yesu Katika Waefeso 1:17 Biblia inasema ‘Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa utukufu, awape ninyi ROHO YA HEKIMA NA YA UFUNUO KATIKA KUMJUA YEYE’. Hili moja ya maombi muhimu ambayo Mtume Paulo alifanya kwa jili ya Kanisa la Efeso. Kila nisomapo mstari huu nimekuwa nikijuliza sana ni kwa nini Mtume Paulo aliomba maombi haya kwa kanisa...
Read more »

Wednesday, February 3, 2016

The Swedish Church to Collect '39' Million to Build a Mosque

For years the Swedish church parish in Nacka has with an ongoing project planned to build a mosque adjacent to the existing church in Fisksätra in Stockholm. The project to build the joint building, called "House of God" is estimated to cost SEK 39 million ($4,548,630), an amount the church tries to collect through a foundation. Critics have naturally questioned whether the church really...
Read more »

Tuesday, February 2, 2016

UJUMBE wa Neno la MUNGU

5 Katika shida yangu nalimwita Bwana; Bwana akanijibu akaniweka panapo nafasi.  6 Bwana yuko upande wangu, sitaogopa; Mwanadamu atanitenda nini?  7 Bwana yuko upande wangu, msaidizi wangu, Kwa hiyo nitawaona wanaonichukia wameshindwa.  8 Ni heri kumkimbilia Bwana Kuliko kuwatumainia wanadamu.  9 Ni heri kumkimbilia Bwana. Kuliko kuwatumainia wakuu.  10 Mataifa yote walinizunguka;...
Read more »
 

Followers


LinkWithin

Hebroni 2016. Powered by Blogger.