Huu Ndio Mwonekano wa Hekalu la Mfalme Suleimani, Jerusalemu kama Inavyotajwa kwenye Biblia | Hebroni
Habari Mpya
Loading...

Wednesday, January 13, 2016

Huu Ndio Mwonekano wa Hekalu la Mfalme Suleimani, Jerusalemu kama Inavyotajwa kwenye Biblia

BONYEZA PICHA HILI CHINI UWE MIONGONI MWA WANAONUFAIKA NA...☟⇓




Lakini pamoja na Picha hizi pia nimekuwekea na Somo kama lilivyoandikwa na Charles Mwaisemba

MFULULIZO WA MASOMO YA MATUKIO YA MWISHO WA DUNIA 
SOMO 3:DHIKI KUBWA (PART 4) 
4) NJIA YA KUPATA WOKOVU WAKATI WA DHIKI KUU Kwa wayahudi kwao Wokovu wao unapatikana kwa njia mbili maana Mungu alikuwa amekwishajifunga kwenye Neno lake Kuwa atawaokoa Biblia inasema katika WARUMI 11:25-31,
 I. Ni kutokumsujudia mnyama au sanamu yake, na kutokupokea chapa ya '666' ambayo itawapelekea wakubali kuteswa hata ikibi kufa ndipo wataokolewa 
II. Kukimbilia mahali maarufu palipowekwa na Mungu mwenyewe,Biblia ndio inapataja kama milimani lakini ndio hii sehemu inayojulikana kama PETRA katika Mlima ule wa Mizeituni,mahali pale ambapo Yesu alipaa kwenda mbinguni na ndipo atakaporudi mara ya pili,nao wote waliokimbilia milimani ndipo watakapomuombolezea Yeye waliyemchoma na waliomkataa Mwanzo
Endelea kusoma zaidi hapa>>BOFYA HAPA

Jiunge Nasi Tuwe Tunakutumia Habari Mara tu zinapotokea! ..Bofya HAPA Ujiunge Sasa..

BONYEZA PICHA HILI CHINI UWE MIONGONI MWA WANAONUFAIKA NA...☟⇓
Sambaza Habari Hii Kwa Marafiki Zako
Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
ANGALIA TV KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI
Bofya HAPA>>HAPA>>HAPA

0 comments:

POST A COMMENT

 

Followers


LinkWithin

Hebroni 2016. Powered by Blogger.