UJUMBE wa Neno la MUNGU | Hebroni
Habari Mpya
Loading...

Tuesday, February 2, 2016

UJUMBE wa Neno la MUNGU

BONYEZA PICHA HILI CHINI UWE MIONGONI MWA WANAONUFAIKA NA...☟⇓

5 Katika shida yangu nalimwita Bwana; Bwana akanijibu akaniweka panapo nafasi.
 6 Bwana yuko upande wangu, sitaogopa; Mwanadamu atanitenda nini?
 7 Bwana yuko upande wangu, msaidizi wangu, Kwa hiyo nitawaona wanaonichukia wameshindwa.
 8 Ni heri kumkimbilia Bwana Kuliko kuwatumainia wanadamu.
 9 Ni heri kumkimbilia Bwana. Kuliko kuwatumainia wakuu.
 10 Mataifa yote walinizunguka; Kwa jina la Bwana naliwakatilia mbali.
 11 Walinizunguka, naam, walinizunguka; Kwa jina la Bwana naliwakatilia mbali.
 12 Walinizunguka kama nyuki, Walizimika kama moto wa miibani; Kwa jina la Bwana naliwakatilia mbali.
 13 Ulinisukuma sana ili nianguke; Lakini Bwana akanisaidia.
 14 Bwana ni nguvu zangu na wimbo wangu, Naye amekuwa wokovu wangu.
 15 Sauti ya furaha na wokovu Imo hemani mwao wenye haki; Mkono wa kuume wa Bwana hutenda makuu.
 16 Mkono wa kuume wa Bwana umetukuzwa; Mkono wa kuume wa Bwana hutenda makuu.
 17 Sitakufa bali nitaishi, Nami nitayasimulia matendo ya Bwana
(Zab 118:5-17)
UBARIKIWE NA NENO

Jiunge Nasi Tuwe Tunakutumia Habari Mara tu zinapotokea! ..Bofya HAPA Ujiunge Sasa..

BONYEZA PICHA HILI CHINI UWE MIONGONI MWA WANAONUFAIKA NA...☟⇓
Sambaza Habari Hii Kwa Marafiki Zako
Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
ANGALIA TV KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI
Bofya HAPA>>HAPA>>HAPA

0 comments:

POST A COMMENT

 

Followers


LinkWithin

Hebroni 2016. Powered by Blogger.