Maandalizi ya Campus Night ARUSHA Yazidi kukamilika; Itafnyika Ijumaa Hii.... Tar 15/1/2016 | Hebroni
Habari Mpya
Loading...

Tuesday, January 12, 2016

Maandalizi ya Campus Night ARUSHA Yazidi kukamilika; Itafnyika Ijumaa Hii.... Tar 15/1/2016

BONYEZA PICHA HILI CHINI UWE MIONGONI MWA WANAONUFAIKA NA...☟⇓
Zikiwa zimebakia siku mbili kulekea mkesha wa Campus Night 2016 pale SheikAmri Abeid Karume jijini Arusha ambalo limeandaliwa na Manna Tabernacle Bible Church (MTBC) - Moshi tarehe 15 januari mwaka huu kuanzia saa mbili usiku,tayari jukwaa limeshaanza kufungwa katika katika huo.


fb/John Pazia

fb/John Pazia

Tukio hilo itahusisha waimbaji mbali mbali wa muziki wa injili kama Angel Benard,Paul Clement, MTBC Praise Team,VOT,Abenego & The Worshipers na wengine wengi,Ambapowahudumu wakiwa ni Mchungaji Dickson Mtalitinya(mwenyeji) pamoja na Martin & Jannekah Gooya(nairobi).
Chanzo: Gospel Kitaa

Jiunge Nasi Tuwe Tunakutumia Habari Mara tu zinapotokea! ..Bofya HAPA Ujiunge Sasa..

BONYEZA PICHA HILI CHINI UWE MIONGONI MWA WANAONUFAIKA NA...☟⇓
Sambaza Habari Hii Kwa Marafiki Zako
Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
ANGALIA TV KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI
Bofya HAPA>>HAPA>>HAPA

0 comments:

POST A COMMENT

 

Followers


LinkWithin

Hebroni 2016. Powered by Blogger.